Skip to main content

Habari

Neema zaidi kwa wakulima nchini yaja

Katika kuhakikisha wakulima nchini wananufaika na mbolea za ruzuku, Wizara ya Kilimo imeziagiza kampuni za mbolea kuhakikisha zinafunga mbolea hiyo kwenye vifungashio vya kilo tano, 10, 20, 25, 30 na 50.Hatua hii inaenda kuwakomboa…