Skip to main content
Habari na Matukio

KATIBU MKUU MWELI AKAGUA MAANDALIZI YA SIKU YA CHAI DUNIANI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Mweli amekagua mabanda ya maonesho ya wadau na wazalishaji wa chai.

Katibu Mkuu Mweli amepita kuona utayari wa wadau hao katika kuadhimisha  Siku ya Chai Duniani  ambayo kitaifa kilele chake kinafanyika leo  jijini Dodoma.

Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe