Skip to main content
Habari na Matukio

Taarifa kwa umma kuhusu kuongeza muda wa kutuma maombi kujiunga na vyou vya kilimo

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi (KILIMO) Mhandisi, Mathew Mtigumwe, anawatangazia  Watanzania wote kuwa muda wa kutuma
maombi ya kujiunga na Vyuo vya Mafunzo ya Kilimo katika kozi ya Stashahada na Astashahada umeongezwa hadi tarehe 8/8/2017. 

Pakua Faili: