HALMASHAURI ZIANZISHE VITALU VYA MBEGU ZA MKONGE - MAJALIWA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameziagiza Halmashauri zote zinazolima zao la mkonge kuanzisha vitalu vya kuzalisha miche bora ya mkonge na kuigawa kwa wakulima ili kufufua mashamba zaidi na kuongeza uzalishaji zao la mkonge…
Read more