RAIS SAMIA AZINDUA NA KUGAWA VITENDEA KAZI KWA MAAFISA UGANI KILIMO 7,000 KOTE NCHINI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan hivi karibuni aligawa vitendea kazi kwa Maafisa Ugani Kilimo zaidi ya 7,000 katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma na kuhudhuliwa…