SERIKALI YABAINI MPANGO KUKWAMISHA UJENZI WA VIWANDA VYA SUKARI-PROF. MKENDA
SERIKALI imebaini uwepo wa mkakati wa kukwamisha kuanza kwa ujenzi wa viwanda vingi vya kuchakata miwa ya wakulima ili nchi isijitosheleze kwa uzalishaji wa sukari nchini. Kauli hiyo ya serikali imetolewa leo (17.02.2021)…
Soma zaidi