Bodi ya Pamba Tanzania (TCB)
Bodi ya Pamba Tanzania ni Taasisi ya Serikali yenye jukumu na mamlaka ya kuratibu na kusimamia taratibu na kanuni za kilimo cha zao la Pamba katika mikoa yote nchini.
Tanzania Cotton Board is a statutory organization that was formed by the Act of Parliament No.2 of 2001, and entrusted with the functions of overseeing the growth and sustainability of the cotton sub-sector.
Specifically TCB deals with regulatory functions within the cotton sub-sector on behalf of the government which includes ensuring adherence to cotton farming procedures and regulations, ensuringe steady supply of agro-inputs, maintaining a level playing ground for the cotton business companies and collecting, refining and disseminating information to the stakeholders.
Huduma zetu zinajumuisha shughuli za udhibiti ili kuhakikisha taratibu na kanuni za kilimo cha zao la Pamba na ugavi wa kutosha wa pembejeo za kilimo, makampuni ya biashara ya Pamba na kukusanya, kusafisha na kusambaza habari kwa wadau wote.
DIRA
Taasisi inayoongoza, kuhamasisha na kukuza ushindani ndani ya tasnia ya pamba kwa kuzingatia ubora, tija na uzalishaji.
DHAMIRA
Kuboresha uzalishaji, tija na faida kwa kuongeza ufanisi katika kusimamia sheria, kanuni na taratibu zinazolinda ubora wa pamba inayozalishwa na kuuzwa ndani na nje ya nchi; kutoa huduma kwa wadau kwa ufanisi zaidi; kukuza ushirikiano na uhusiano miongoni mwa wadau kwa lengo la kujisimamia wenyewe katika kuhamasisha uzalishaji, usindikaji na matumizi ya pamba ndani ya nchi.
MISINGI YA UTENDAJI
- Kukuza Kipato
- Kukuza Ushirikiano wa Kisekta
- Maendeleo endelevu
- Weledi
- Ubunifu
History
The history of Tanzania Cotton Board goes back to 1952 when the Lint and Seed Marketing Board of Tanganyika (LSMB) was formed by the Lint and Seed Marketing Ordinance with the main function of marketing cotton lint from Tanganyika.
In 1973, LSMB was dissolved and Tanzania Cotton Authority was established under the Cotton Industry Act No. 3 of 1973. The function of TCA was to promote the development of the cotton industry in Tanzania.
However in 1976, TCA took over the control of the entire industry from production, seed cotton buying, processing and marketing of lint after dissolution of the Regional Co-operative Unions (RCU’s).
The government reinstated the Regional Co-operative Unions in 1984 after repealing the Cotton Industry Act No. 3 of 1973 and Tanzania Cotton Marketing Board was formed in place of Tanzania Cotton Authority. TCMB was established by the Tanzania Cotton Marketing Board Act No. 19 of 1984 to carry out the marketing of cotton lint and cotton seeds.
However, the Principle act i.e. TCMB Act No. 19 of 1984 was amended by deleting all references to the name TCMB and substituted them by Tanzania Cotton Lint & Seed Board whose functions were mainly to regulate and control the quality and marketing of cotton lint and seed cotton.
However, the Act that formed TCLSB did not address production related problems facing the industry. This necessitated the formation of Tanzania Cotton Board (TCB) by the Act of Parliament i.e. Cotton industry Act No. 2 of 2001 which name came into effect on July 2004.