Skip to main content
Taarifa
Swahili

TAARIFA YA MAONESHO YA KILIMO NA SHEREHE ZA WAKULIMA (NANE NANE) 2017

Maonesho ya 27 ya Kilimo na Sherehe za Wakulima zilifanyika Kitaifa na ngazi ya Kanda kuanzia tarehe 01/08 hadi 08/08/2017.

Kitaifa sherehe hizo zilifanyika katika viwanja vya Ngongo nje kidogo ya Manispaa ya Lindi. Katika ngazi ya Kanda Maonesho na Sherehe zilifanyika katika viwanja vya Nzuguni – Dodoma (Kanda ya Kati),

Themi – Arusha (Kanda ya Kaskazini), J. K. Nyerere – Morogoro (Kanda ya Mashariki), John Mwakangale – Mbeya (Kanda ya Nyanda za Juu Kusini), Nyamhongolo – Mwanza (Kanda ya Ziwa) na Fatuma Mwasi – Tabora (Kanda ya Magharibi).

Taarifa zaidi pakua hapa

Pakua Faili: