Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Kilimo

Bw. Gerald G. Mweli

Bw. Gerald G. Mweli
Katibu Mkuu

Prof. Peter L. M. Msoffe

Prof. Peter L. M. Msoffe
Naibu Katibu Mkuu (Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula)

Mha. Athumani J. Kilundumya

Mha. Athumani J. Kilundumya
Naibu Katibu Mkuu (Umwagiliaji na Zana za Kilimo)

Slide Photo
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) ameanza ziara ya kikazi Mkoani Tanga ambapo ameeleza atatembelea Wilaya zote za Mkoa huo ili kutatua changamoto za wananchi na kuwapatia maendeleo. Ziara imeanza tarehe 13 Februari 2026 ambapo Waziri Mkuu ameweka jiwe la msingi kwenye Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Kupokea, Kupoza na Kusambaza Umeme cha Msongo wa 132/33 kv Mkata, Handeni mkoani Tanga. Mawaziri alioambatana nao katika ziara ni pamoja na Mhe. Daniel Chongolo (Mb), Waziri wa Kilimo; Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa (Mb), Waziri wa Mifugo na Uvuvi; Mhe. Jumaa Aweso (Mb), Waziri wa Maji; Prof. Riziki Shemdoe (Mb), Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Lushoto; Mhe Balozi Dk Batilda Burian, Mkuu wa Mkoa wa Tanga na Viongozi wengine wa Serikali pamoja na Waheshimiwa Wabunge wa Majimbo mbalimbali mkoani Tanga.
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) amepokelewa na Viongozi wa Serikali akiwemo Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (Mb) tayari kuanza ziara yake ya kikazi mkoani Tanga, tarehe 13 Februari 2026.
Taasisi na Bodi za Wizara