Dkt. Hussein M. Omar Naibu Katibu Mkuu (Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula)
Wataalamu kutoka Wizara ya Kilimo, Sekretariet za Mikoa, Halmashauri za Wilaya, Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI), Taasisi ya Utafiti wa Kahawa (TaCRI), Chuo Kikuu Cha Kilimo Sokoine (SUA), Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM), Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST), Mbeya University of Science and Technology (MUST), Wataalam Wabobezi wa udongo Wastaafu wamekutana mapema wiki hii mkoani Arusha kujadili na kupanga namna ya utekelezaji wa zoezi la upimaji afya ya udongo katika mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara.
Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofungwa rasmi na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha tarehe 8 Machi 2025.
Watumishi Wanawake wa Wizara ya Kilimo, Taasisi na Bodi za Wizara nao walishiriki. Kauli mbiu ni “Wanawake na Wasichana 2025; Imarisha Usawa na Haki na Uwezeshwaji”.
Wanawake wa Taasisi mbalimbali ikiwemo Wizara ya Kilimo wameshiriki matembezi ya amani katika kuadhamisha Siku ya Wanawake Duniani yaliyoanzia Nyerere Square kuelekea Uwanja wa Chinangali Park tarehe 8 Machi 2025, jijini Dodoma.
Mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Wilaya Dodoma, Mhe. Alhaj Jabir Shekimweri.
Kauli mbiu ni “Wanawake na Wasichana 2025; Imarisha Usawa na Haki na Uwezeshwaji”.
.
Mkuu wa Mkoa Arusha, Mhe. Paul Makonda akitoa wito kwa wananchi wa mkoa huo na maeneo ya jirani kujitokeza kwa wingi katika maonesho ya wiki ya wanawake duniani ili kupata huduma ya kupimiwa afya ya udongo bure na kupatiwa ushauri elekezi
Wataalamu wa udongo wakiendelea na zoezi la kuchukua sampuli kwa ajili ya upimaji wa afya ya udongo katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri za Wilaya za mikoa ya Arusha na Manyara.
Zoezi la upimaji limeanza tarehe 17 Februari 2025 katika mikoa hiyo ikiwa ni sehemu ya kuhakikisha wakulima nchini wanaongeza tija na uzalishaji na hatimaye kujiongezea kipato kupitia Sekta ya Kilimo.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Makonda na wadau mbalimbali wametembelea banda la Wizara ya Kilimo, Taasisi na Bodi za Wizara katika uzinduzi wa maonesho ya Siku ya Wanawake Duniani inayofanyika kitaifa jijini Arusha, tarehe 1 Machi 2025.
Wanafunzi wanaosoma somo la kilimo (Agriculture) kutoka Shule ya Sekondari Arritsaayo iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Babati, Mkoani Manyara wamepatiwa elimu kwa vitendo kuhusu upimaji wa afya ya udongo tarehe 28 Februari 2025.
Elimu hiyo imetolewa na wataalamu wa upimaji wa afya ya udongo ambapo wanafunzi wamejifunza aina mbalimbali za udongo, sifa za udongo, madini yaliyomo kwenye udongo pamoja ikiwa ni pamoja na mbinu mbalimbali za kutumia pale udongo unapokosa virutubisho vya kuchochea ukuaji wa mazao.
Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde (Mb) akizungumza katika Mkutano na maonesho ya Wadau wa zao la Kahawa Africa (21 African fine Coffees Conference & Exhibitions) uliofanyika tarehe 27 Februari 2025, Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam
Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde (Mb) amefungua Mkutano na maonesho ya Wadau wa zao la Kahawa Africa (21 African fine Coffees Conference & Exhibitions) tarehe 27 Februari 2025, katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam na amesisitiza matumizi ya teknolojia za kisasa katika uzalishaji, uchakataji na uongezaji thamani wa zao la Kahawa ili kuendelea kufanya vizuri katika masoko ya Dunia.
Wataalamu kutoka Wizara ya Kilimo, Sekretariet za Mikoa, Halmashauri za Wilaya, Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI), Taasisi ya Utafiti wa Kahawa (TaCRI), Chuo Kikuu Cha Kilimo Sokoine (SUA), Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM), Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST), Mbeya University of Science and Technology (MUST), Wataalam Wabobezi wa udongo Wastaafu wamekutana mapema wiki hii mkoani Arusha kujadili na kupanga namna ya utekelezaji wa zoezi la upimaji afya ya udongo katika mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara.
Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofungwa rasmi na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha tarehe 8 Machi 2025.
Watumishi Wanawake wa Wizara ya Kilimo, Taasisi na Bodi za Wizara nao walishiriki. Kauli mbiu ni “Wanawake na Wasichana 2025; Imarisha Usawa na Haki na Uwezeshwaji”.
Wanawake wa Taasisi mbalimbali ikiwemo Wizara ya Kilimo wameshiriki matembezi ya amani katika kuadhamisha Siku ya Wanawake Duniani yaliyoanzia Nyerere Square kuelekea Uwanja wa Chinangali Park tarehe 8 Machi 2025, jijini Dodoma.
Mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Wilaya Dodoma, Mhe. Alhaj Jabir Shekimweri.
Kauli mbiu ni “Wanawake na Wasichana 2025; Imarisha Usawa na Haki na Uwezeshwaji”.
.
Mkuu wa Mkoa Arusha, Mhe. Paul Makonda akitoa wito kwa wananchi wa mkoa huo na maeneo ya jirani kujitokeza kwa wingi katika maonesho ya wiki ya wanawake duniani ili kupata huduma ya kupimiwa afya ya udongo bure na kupatiwa ushauri elekezi
Wataalamu wa udongo wakiendelea na zoezi la kuchukua sampuli kwa ajili ya upimaji wa afya ya udongo katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri za Wilaya za mikoa ya Arusha na Manyara.
Zoezi la upimaji limeanza tarehe 17 Februari 2025 katika mikoa hiyo ikiwa ni sehemu ya kuhakikisha wakulima nchini wanaongeza tija na uzalishaji na hatimaye kujiongezea kipato kupitia Sekta ya Kilimo.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Makonda na wadau mbalimbali wametembelea banda la Wizara ya Kilimo, Taasisi na Bodi za Wizara katika uzinduzi wa maonesho ya Siku ya Wanawake Duniani inayofanyika kitaifa jijini Arusha, tarehe 1 Machi 2025.
Wanafunzi wanaosoma somo la kilimo (Agriculture) kutoka Shule ya Sekondari Arritsaayo iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Babati, Mkoani Manyara wamepatiwa elimu kwa vitendo kuhusu upimaji wa afya ya udongo tarehe 28 Februari 2025.
Elimu hiyo imetolewa na wataalamu wa upimaji wa afya ya udongo ambapo wanafunzi wamejifunza aina mbalimbali za udongo, sifa za udongo, madini yaliyomo kwenye udongo pamoja ikiwa ni pamoja na mbinu mbalimbali za kutumia pale udongo unapokosa virutubisho vya kuchochea ukuaji wa mazao.
Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde (Mb) akizungumza katika Mkutano na maonesho ya Wadau wa zao la Kahawa Africa (21 African fine Coffees Conference & Exhibitions) uliofanyika tarehe 27 Februari 2025, Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam
Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde (Mb) amefungua Mkutano na maonesho ya Wadau wa zao la Kahawa Africa (21 African fine Coffees Conference & Exhibitions) tarehe 27 Februari 2025, katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam na amesisitiza matumizi ya teknolojia za kisasa katika uzalishaji, uchakataji na uongezaji thamani wa zao la Kahawa ili kuendelea kufanya vizuri katika masoko ya Dunia.
Wataalamu kutoka Wizara ya Kilimo, Sekretariet za Mikoa, Halmashauri za Wilaya, Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI), Taasisi ya Utafiti wa Kahawa (TaCRI), Chuo Kikuu Cha Kilimo Sokoine (SUA), Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM), Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST), Mbeya University of Science and Technology (MUST), Wataalam Wabobezi wa udongo Wastaafu wamekutana mapema wiki hii mkoani Arusha kujadili na kupanga namna ya utekelezaji wa zoezi la upimaji afya ya udongo katika mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara.