Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Kilimo

Bw. Gerald G.Mweli

Bw. Gerald G.Mweli
Katibu Mkuu

Dkt. Stephen J. Nindi

Dkt. Stephen J. Nindi
Naibu Katibu Mkuu (Ushirika na Umwagiliaji)

Dkt. Hussein M. Omar

Dkt. Hussein M. Omar
Naibu Katibu Mkuu (Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula)

Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) amezindua Tovuti ya Usajili kwa ajili ya Ushiriki wa Maonesho ya Nane Nane 2025 yatakayofanyika Kitaifa Mkoani Dodoma tarehe 1 hadi 8 Agosti 2025. Uzinduzi huo umefanyika tarehe 13 Juni 2025, jijini Dodoma na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli.
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli amefanya ziara ya kikazi na kukagua Kiwanda cha ITRACOM Fertilizers Limited na maandalizi ya uzinduzi wake utakaofanyika tarehe 28 Juni 2025. Ziara hiyo imefanyika tarehe 12 Juni 2025 katika eneo la Nala, jijini Dodoma ambapo mgeni rasmi wa uzinduzi wa Kiwanda hicho anatarajiwa kuwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Uzinduzi wa kiwanda hicho unatarajiwa kuhudhuriwa na Viongozi wa Kitaifa na Kimataifa wakiwemo Rais wa Burundi, Mhe. Evariste Ndayishimiye na Mawaziri wa Kilimo kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), na Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC). Kiwanda cha ITRACOM Fertilizers Limited ni kiwanda cha pili kuzalisha mbolea nchini na cha kwanza kwa ukubwa kwa uzalishaji wa mbolea Afrika Mashariki, ambacho kinauwezo wa kuzalisha tani 1,000,000 kwa kutumia teknolojia za kisasa na kimezalisha ajira 1,805.
Slide Photo
Slide Photo