Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Godfrey Chongolo (Mb), akiteta na Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde (Mb) baada ya kumaliza kuwasilisha Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Kilimo kwa mwaka wa Fedha 2026/2027 tarehe 28 Aprili 2026, jijini Dodoma.
Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (Mb) akiwasilisha Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara kwa mwaka wa Fedha 2026/2027 tarehe 28 Aprili 2026, jijini Dodoma.
Matukio katika picha yakihusisha pongezi kwa Wizara ya Kilimo kufuatia wasilisho la Hotuba ya Makadirio ya Mapato na matumizi ya Wizara kwa mwaka wa Fedha 2026/2027 tarehe 28 Aprili 2026, jijini Dodoma.