Dkt. Hussein M. Omar Naibu Katibu Mkuu (Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na baadhi ya wananchi wa Mkoa wa Simiyu tarehe 16 Juni 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua kiwanda cha Moli Oil Mills ambapo aliweka jiwe la msingi na kukata utepe mbele ya mamia ya wananchi na wakazi wa Mkoa wa Simiyu wameshuhudia uzinduzi huo uliofanyika tarehe 16 Juni 2025.
Kiwanda cha Moli Oil Mills Ltd. kimezinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 16 Juni 2025 katika Mkoa wa Simiyu
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) amezindua Tovuti ya Usajili kwa ajili ya Ushiriki wa Maonesho ya Nane Nane 2025 yatakayofanyika Kitaifa Mkoani Dodoma tarehe 1 hadi 8 Agosti 2025.
Uzinduzi huo umefanyika tarehe 13 Juni 2025, jijini Dodoma na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli.