Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Kilimo

Bw. Gerald G. Mweli

Bw. Gerald G. Mweli
Katibu Mkuu

Prof. Peter L. M. Msoffe

Prof. Peter L. M. Msoffe
Naibu Katibu Mkuu (Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula)

Mha. Athumani J. Kilundumya

Mha. Athumani J. Kilundumya
Naibu Katibu Mkuu (Umwagiliaji na Zana za Kilimo)

Slide Photo
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayesimamia Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula, Prof. Peter L. M. Msoffe amefanya ziara ya kutembelea shamba la vijana wanaonufaika na Programu ya Jenga Kesho Iliyobora (BBT) tarehe 21 Februari 2026, Chinangali, jijini Dodoma, kwa lengo la kujionea utekelezaji wa programu hiyo na kuzungumza na vijana kuhusu mafanikio na changamoto wanazokutana nazo.
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde (Mb) ameshiriki katika Mkutano wa hadhara mkoani Kilimanjaro tarehe 20 Februari 2026 na kujibu hoja mbalimbali za Sekta ya Kilimo zilizoibuliwa na wananchi waliojikusanya kufuatia uzinduzi wa mradi wa ujenzi wa stendi ya Ngangamfumuni. Mkutano huo wa hadhara ni sehemu ya ziara ya kikazi ya Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) katika mkoa huo.
Taasisi na Bodi za Wizara