Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Kilimo

Bw. Gerald G. Mweli

Bw. Gerald G. Mweli
Katibu Mkuu

Prof. Peter L. M. Msoffe

Prof. Peter L. M. Msoffe
Naibu Katibu Mkuu (Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula)

Mha. Athumani J. Kilundumya

Mha. Athumani J. Kilundumya
Naibu Katibu Mkuu (Umwagiliaji na Zana za Kilimo)

Slide Photo
Serikali ipo katika hatua za mwisho za maandalizi ya kuanza ujenzi wa bwawa la umwagiliaji katika Kata ya Tingatinga, Wilaya ya Longido, mkoani Arusha, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuimarisha Sekta ya Kilimo; na Sekta ya Ufugaji kupitia uhakika wa upatikanaji wa maji. Amesema Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (Mb) ambaye pia ni mlezi wa Mkoa wa Arusha, tarehe 02 Julai 2026 wakati akikagua miradi mbalimbali ya maendeleo na kuzungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Tingatinga, wilayani longido.
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Kamati ya Uongozi (Steering Committee) ya Programu ya Mifumo Himilivu ya Chakula Tanzania (Tanzania Food Systems Resilience Program – TFSRP) imekutana jijini Dar es Salaam tarehe 29 Juni 2026 katika mkutano wake wa nne tangu kuanza kwa utekelezaji wa programu hiyo. Lengo la Mkutano ni kujadili maendeleo yaliyofikiwa, kutathmini utekelezaji na kuweka mikakati ya kuimarisha utekelezaji ili kuhakikisha malengo yaliyowekwa yanafikiwa kwa wakati.
Taasisi na Bodi za Wizara