Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Kilimo

Bw. Gerald G. Mweli

Bw. Gerald G. Mweli
Katibu Mkuu

Prof. Peter L. M. Msoffe

Prof. Peter L. M. Msoffe
Naibu Katibu Mkuu (Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula)

Mha. Athumani J. Kilundumya

Mha. Athumani J. Kilundumya
Naibu Katibu Mkuu (Umwagiliaji na Zana za Kilimo)

Slide Photo
Matukio katika picha yakionesha mwendelezo wa mafunzo maalumu kwa Watafiti, Maafisa Kilimo, Wakulima na wafanyakazi wa kada zote katika vituo vya utafiti vilivyo chini ya Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania, yakilenga kuimarisha uelewa wa kujumuisha masuala ya mazingira katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku. Mafunzo haya yametolewa kwa awamu katika vituo vya Selian na Tengeru (Arusha), TACRI (Kilimanjaro), Mlingano (Tanga) na Kibaha (Pwani) kuanzia tarehe 23–27 Februari 2026. Washiriki wamejengewa uwezo wa matumizi sahihi na salama ya viuatilifu, kuzingatia kanuni za afya na usalama mahali pa kazi, kuimarisha usawa wa kijinsia na kupambana na ukatili wa kijinsia, pamoja na kuweka mifumo madhubuti ya kupokea na kushughulikia malalamiko na maoni ya wadau pamoja na usimamizi bora wa taka zinazotokana na shughuli za utafiti na uzalishaji yameimarishwa, kwa lengo la kupunguza athari kwa mazingira na kuhakikisha kilimo endelevu, chenye tija kwa Taifa.
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Taasisi na Bodi za Wizara