Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo, Mifugo na Uvuvi imefanya ziara tarehe 19 Aprili 2026 mkoani Dodoma, katika shamba la pamoja la Chinangali, kujionea utekelezaji wa programu ya Jenga Kesho iliyo Bora (BBT), pamoja na kutathmini mafanikio na changamoto zilizopo.