Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Kilimo

Bw. Gerald G. Mweli

Bw. Gerald G. Mweli
Katibu Mkuu

Prof. Peter L. M. Msoffe

Prof. Peter L. M. Msoffe
Naibu Katibu Mkuu (Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula)

Mha. Athumani J. Kilundumya

Mha. Athumani J. Kilundumya
Naibu Katibu Mkuu (Umwagiliaji na Zana za Kilimo)

Slide Photo
Miradi yote inayotekelezwa chini ya Wizara ya Kilimo imeelekezwa kuzingatia kikamilifu sheria, taratibu na kanuni za Serikali ili kuongeza ufanisi na kuhakikisha thamani halisi ya fedha inapatikana katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Ameelekeza hayo Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayesimamia Umwagiliaji na Zana za Kilimo, Mha. Athumani Kilundumya wakati akifunga rasmi mafunzo ya siku kumi na tano (15) kuhusu Usimamizi wa Miradi na Mikataba yaliyotolewa kwa Wahandisi wa Wizara ya Kilimo na Taasisi zake, tarehe 6 Machi 2026, Viwanja vya Nzuguni, Nanenane jijini Dodoma.
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Taasisi na Bodi za Wizara