Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonazi amefungua Warsha kuhusu Programu ya Kuimarisha Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini wa Wizara ya Kilimo ili kuimairisha mfumo wa shughuli za ufuatiliaji na tathimini tarehe 16 Julai 2025. Mkoani Morogoro.
Warsha hiyo ya siku tano (5) imewakutanisha Maafisa Vinara wa Tathmini na Ufuatiliaji (Monitory and Evaluation Champions) wa Wizara ya Kilimo na Taasisi zake.