Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Kilimo

Bw. Gerald G. Mweli

Bw. Gerald G. Mweli
Katibu Mkuu

Dkt. Stephen J. Nindi

Dkt. Stephen J. Nindi
Naibu Katibu Mkuu (Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula)

Mha. Athumani J. Kilundumya

Mha. Athumani J. Kilundumya
Naibu Katibu Mkuu (Umwagiliaji na Zana za Kilimo)

Slide Photo
Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani, Mhe. Frank-Walter Steinmeier amefungua rasmi Maonesho ya Kimataifa ya Wiki ya Kijani (Green Week) ambayo kwa mwaka huu yametimiza miaka 100 tangu kuanzishwa kwake katika mji wa Berlin mwaka 1926 nchini Ujerumani. Maonesho hayo yana kauli mbiu ya “Water. Harvests. Our Future” yanashabihiana na Maonesho ya Wakulima ya Kitaifa na Kimataifa ya Nane Nane yanayofanyika chini Tanzania kila mwaka katika wiki ya kwanza ya mwezi Agosti.
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Taasisi na Bodi za Wizara