Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Kilimo

Bw. Gerald G. Mweli

Bw. Gerald G. Mweli
Katibu Mkuu

Dkt. Stephen J. Nindi

Dkt. Stephen J. Nindi
Naibu Katibu Mkuu (Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula)

Mha. Athumani J. Kilundumya

Mha. Athumani J. Kilundumya
Naibu Katibu Mkuu (Umwagiliaji na Zana za Kilimo)

Slide Photo
Slide Photo
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb), amesema Mkutano wa Kwanza wa Afrika kuhusu Matumizi Endelevu ya Zana za Kilimo (Africa Conference on Sustainable Agricultural Mechanization - ACSAM) umefanyika kwa wakati muafaka kwa Tanzania kwa kuwa mageuzi ya kilimo yanahitaji zana jumuishi za kısasa na endelevu ili wakulima waweze kulima kwa tija zaidi. Amesema hayo wakati akizindua Mkutano huo unaoanza tarehe 03 hadi 06 Februari 2026, katika katika Hoteli ya Johari Rotana jijini Dar es Salaam ambapo amesema kuni na mzizi wa tatizo kwenye masuala ya kilimo sasa vinaenda kupata suluhisho kupitia zana za kilimo. Hivyo, amewataka Washiriki kujadili na kutoka na malengo yatakayotekelezrka na kupimika ili Tanzania iwe na sekta ya kilimo ya kisasa, himilivu na yenye tija.
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb), amesema Tanzania inachukulia matumizi endelevu ya zana za kilimo kama hitaji la kimkakati katika kuleta mageuzi ya Sekta ya Kilimo, kuongeza uzalishaji na kujenga mifumo himilivu ya chakula Barani Afrika. Amesema hayo wakati akifungua rasmi Mkutano wa Kwanza wa Kikanda wa Afrika kuhusu Matumizi Endelevu ya Zana za Kilimo (Africa Conference on Sustainable Agricultural Mechanization – ACSAM) unaofanyika jijini Dar es Salaam kwa ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO).
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Taasisi na Bodi za Wizara