Baraza la Kumshauri Mheshimiwa Rais kuhusu Utekelezaji wa Masuala ya Kilimo na Chakula likiongozwa na Mwenyekiti wake ambaye pia ni Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Pinda, limekutana kwa mazungumzo na Viongozi wa Wizara ya Kilimo na Wizara ya Mifugo na Uvuvi tarehe 24 Machi 2026, jijini Dodoma.