Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Kilimo

Bw. Gerald G. Mweli

Bw. Gerald G. Mweli
Katibu Mkuu

Prof. Peter L. M. Msoffe

Prof. Peter L. M. Msoffe
Naibu Katibu Mkuu (Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula)

Mha. Athumani J. Kilundumya

Mha. Athumani J. Kilundumya
Naibu Katibu Mkuu (Umwagiliaji na Zana za Kilimo)

Slide Photo
Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (Mb) amehimiza Kituo cha Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Seliani kilichopo mkoani Arusha kufanya tafiti za mbegu bora kwa viwango vinavyokidhi mahitaji ya wakulima na soko, sambamba na mikakati ya kuuza mbegu zake kibiashara.
Slide Photo
Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (Mb) akiwa katika ziara ya kikazi TARI - Seliani.
Slide Photo
Tanzania na Jamhuri ya Rwanda zimekubaliana kuangazia maeneo mbalimbali ya ushirikiano katika Sekta ya Kilimo, ikiwemo kubadilishana uzoefu wa teknolojia, utaalamu wa kuongeza uzalishaji, usalama wa chakula, pamoja na fursa za biashara ya mazao ya kilimo hususan tasnia ya mbolea.
Slide Photo
Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde (Mb) amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Mhe. Jen. Patrick Nyamvumba walipokutana kwa mazungumzo tarehe 03 Julai 2026, jijini Dar es Salaam. Mazungumzo hayo yalihusisha pia ushiriki wa viongozi mbalimbali wakiwemo Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) Bw. Samuel Mshote na Mwakilishi kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA).
Slide Photo
Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde (Mb) akiwa na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Mhe. Jen. Patrick Nyamvumba walipokutana kwa mazungumzo tarehe 03 Julai 2026, jijini Dar es Salaam.
Slide Photo
Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (Mb) akisikiliza taarifa kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) Prof. Joseph Ndunguru, wakati wa ziara yake ya kikazi Makao Makuu ya TPHPA jijini Arusha tarehe 3 Julai 2026.
Slide Photo
Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (Mb) akiwa katika ziara yake ya kikazi Makao Makuu ya TPHPA jijini Arusha tarehe 3 Julai 2026.
Slide Photo
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayesimamia Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula, Prof. Peter L. M. Msoffe, akiwa katika banda la ASA katika Maonesho ya Kimataifa Saba Saba, jijini Dar es Salaam tarehe 03 Julai 2026.
Slide Photo
Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde (Mb), amefungua rasmi Kiwanda cha Kuunganisha Matrekta cha TATDC kilichopo Mvomero, mkoani Morogoro tarehe 16 Juni 2026.
Slide Photo
Serikali ipo katika hatua za mwisho za maandalizi ya kuanza ujenzi wa bwawa la umwagiliaji katika Kata ya Tingatinga, Wilaya ya Longido, mkoani Arusha, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuimarisha Sekta ya Kilimo; na Sekta ya Ufugaji kupitia uhakika wa upatikanaji wa maji. Amesema Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (Mb) ambaye pia ni mlezi wa Mkoa wa Arusha, tarehe 02 Julai 2026 wakati akikagua miradi mbalimbali ya maendeleo na kuzungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Tingatinga, wilayani longido.
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Taasisi na Bodi za Wizara