Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Kilimo

Bw. Gerald G. Mweli

Bw. Gerald G. Mweli
Katibu Mkuu

Prof. Peter L. M. Msoffe

Prof. Peter L. M. Msoffe
Naibu Katibu Mkuu (Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula)

Mha. Athumani J. Kilundumya

Mha. Athumani J. Kilundumya
Naibu Katibu Mkuu (Umwagiliaji na Zana za Kilimo)

Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Matukio katika picha wakati wa zoezi la urushaji wa ndege nyuki ya kisasa (drone) inayotumika katika udhibiti wa visumbufu vya mazao mashambani, teknolojia inayolenga kuongeza ufanisi katika kulinda afya ya mimea, kuimarisha uzalishaji wa mazao na kuchangia usalama wa chakula nchini. Zoezi hilo limeshuhudiwa na Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde (Mb); Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Afya ya Mimea Tanzania, Prof. Joseph Caniusius Ndunguru pamoja na viongozi wengine wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Afya ya Mimea 2026, tarehe 12 Mei 2026, jijini Dodoma. “Ulinzi wa Bayoanuai ya Mimea kwa Usalama wa Chakula na Lishe”.
Slide Photo
Slide Photo
Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde (Mb) amekagua mabanda mbalimbali na kupokea maelezo kuhusu afya ya mimea wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Afya ya Mimea 2026 yaliyofanyika katika Viwanja vya John Malecela NaneNane, tarehe 12 Mei 2026, jijini Dodoma. Naibu Waziri Silinde ameambatana na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Afya ya Mimea Tanzania, Prof. Joseph Caniusius Ndunguru, na kujionea shughuli na huduma zinazotolewa na wadau wa tasnia ya afya ya mimea kutoka Sekta Binafsi na za Serikali. Maadhimisho hayo yameratibiwa na Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) kuanzia tarehe 10 Mei na kushirikishwa tarehe 12 Mei 2026 ambapo Naibu Waziri Silinde alimwakilisha Mhe. Daniel Chongolo (Mb), Waziri wa Kilimo kama mgeni rasmi. Kauli mbiu ni: “Ulinzi wa Bayoanuai ya Mimea kwa Usalama wa Chakula na Lishe”.
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imeanza kusambaza Mwongozo wa Matumizi ya Ghala za Umma, hatua inayolenga kuongeza ufanisi wa matumizi ya maghala na kuimarisha usalama wa chakula nchini. Zoezi hilo linafanywa na timu ya wataalam kutoka Wizara ya Kilimo mkoani Kigoma kwa lengo la kuhakikisha maghala ya Umma na yale yanayomilikiwa na Sekta Binafsi yanatumika kwa tija na kwa kuzingatia taratibu rasmi.
Taasisi na Bodi za Wizara