Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Kilimo

Bw. Gerald G. Mweli

Bw. Gerald G. Mweli
Katibu Mkuu

Prof. Peter L. M. Msoffe

Prof. Peter L. M. Msoffe
Naibu Katibu Mkuu (Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula)

Mha. Athumani J. Kilundumya

Mha. Athumani J. Kilundumya
Naibu Katibu Mkuu (Umwagiliaji na Zana za Kilimo)

Slide Photo
Slide Photo
Wizara ya Kilimo imetoa elimu ya mwongozo wa matumizi ya ghala za umma katika mikoa ya Kigoma, Katavi, Rukwa, Songwe na Mbeya tarehe 11 hadi 24 Mei 2026 kwa lengo la kuwajengea wakulima na wadau wa sekta ya kilimo uelewa kuhusu matumizi sahihi ya ghala za umma ili kuhakikisha mazao yanahifadhiwa kwa usalama na ubora unaotakiwa.
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Tanzania na Kenya zaahidi kuimarisha ushirikiano wa kimkakati katika Sekta ya Kilimo hususan katika nyanja za kukuza biashara, uwekezaji pamoja na kuimarisha usalama wa chakula ukanda wa Afrika Mashariki. Hayo yamebainishwa wakati wa majadiliano kati ya Bw. Gerald Mweli, Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo na Mhe. Catherine Wahome, Balozi wa Jamhuri ya Kenya nchini Tanzania tarehe 20 Mei 2026, Mtumba - jijini Dodoma.
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Taasisi na Bodi za Wizara