Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde (Mb), amezindua rasmi shamba la kitalu nyumba kwa ajili ya uzalishaji wa miche bora ya mbogamboga cha Raha Vegetable Farm, tarehe 18 Machi 2026 katika Kata ya Mkambarani, mkoani Morogoro, ikiwa ni juhudi za kuongeza wigo wa upatikanaji wa miche bora ya mbogamboga kwa wakulima hapa nchini.