Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Kilimo

Bw. Gerald G. Mweli

Bw. Gerald G. Mweli
Katibu Mkuu

Prof. Peter L. M. Msoffe

Prof. Peter L. M. Msoffe
Naibu Katibu Mkuu (Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula)

Mha. Athumani J. Kilundumya

Mha. Athumani J. Kilundumya
Naibu Katibu Mkuu (Umwagiliaji na Zana za Kilimo)

Slide Photo
#BajetiYaWakulima2026/2027
Slide Photo
Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania, Dkt. Benson O. Ndiege akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni ya "Linda Ushirika, Chagua Uadilifu” iliyofanyika jijini Dodoma tarehe 24 Aprili 2026.
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (Mb), amesema Serikali iko katika hatua za kupanga kushirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) pamoja na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ili kuanzisha madawati maalum ya kipolisi yatakayoshughulikia masuala ya vyama vya ushirika nchini. Akizungumza jijini Dodoma tarehe 24 Aprili 2026 wakati wa uzinduzi wa kampeni ya “Linda Ushirika, Chagua Uadilifu”, Mhe. Chongolo amesema kuwa lengo la mpango huo ni kuimarisha uwajibikaji, kudhibiti vitendo vya rushwa na ubadhirifu, pamoja na kuhakikisha wahusika wanachukuliwa hatua za kisheria bila upendeleo.
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Taasisi na Bodi za Wizara