TANZANIA AND SOUTH SUDAN FORGE STRATEGIC AGRICULTURAL PACT
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiwasili katika Viwanja vya Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo vya Dkt. John Samuel Malecela, tarehw 8 Agosti 2026 Nzuguni jijini Dodoma kwa ajili ya Maadhimisho ya 33 ya Sikukuu ya Wakulima Nanenane 2026.