Skip to main content

Habari na Matukio

WAZIRI AKAGUA SKIMU YA USENSE

Mhe. Hussein Bashe (Mb), Waziri wa Kilimo ameendelea na ziara yake ya kikazi na kukagua mradi wa ukarabati wa skimu ya umwagiliaji ya Usense, mkoani Katavi tarehe 20 Julai 2024 na kuongea na wanakijiji wanufaika wa mradi huo.Mradi…

WARIRI BASHE AANZA ZIARA KATAVI

Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) ameanza ziara yake ya kikazi tarehe 19 Julai 2024 katika Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda, Mkoa wa Katavi ambapo amezungumza na Wadau wa Umwagiliaji na mnyororo mzima wa Sekta ya Kilimo kufuatia…