RAIS SAMIA AZIDI KUINADI TANZANIA KIUCHUMI
Na Tagie Daisy M.Wizara ya Kilimo, Lindi.Ziara ya Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mikoa ya Mtwara na Lindi imezidi kuipaisha Tanzania kiuchumi kutokana na shughuli za Kilimo, Uvuvi…