WAZIRI BASHE AKUTANA NA BALOZI WA CANADA
Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe mekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Canada nchini Tanzania Mhe. Kyle Nunas.Waziri Bashe na Balozi Nunas wamejadiliana namna bora ya kuwekeza katika sekta ya kilimo husan uzalishaji wa…