Skip to main content

Habari na Matukio

WAKULIMA WA PAMBA WAAHIDIWA NEEMA

Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde (Mb) amesema Wizara ya Kilimo itaendelea kuboresha maslahi ya wakulima wa pamba kwa kutafuta masoko yenye bei nzuri na kuvutia wawekezaji wa viwanda vitakavyotumia malighafi zitokanazo na …