Skip to main content

Habari na Matukio

MAENDELEO YA UTAFITI KWENYE KILIMO

Tanzania kupitia Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) na Norway zimekubaliana kushirikiana kuendeleza Utafiti katika maeneo kadhaa ikiwemo teknolojia na mbegu bora. Tukio hilo lilishuhudiwa na Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb)…

MHE. RAIS NA MAWAZIRI KWENYE AGRF 2023

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan(wa pili kulia) ,Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe (wa pili kulia) na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega (wa kwanza kulia) wakifuatlia Mkutano wa Jukwaa…